FILM TRAILER CLOUDS 112 (DR MAX)

NEW VIDEO FREDRIGO - NAJIULIZA

Thursday, November 21, 2013

HUYU NDIE MSANII WA KIKE ALIYE TANGAZA KUUZA NGUO ZAKE;

Posted by WaChAfU INC  
Tagged as:
6:07 AM

Msanii wa kike nguli kutokea visiwani zanzibar anefanya music miondoko ya Bongofleva Jamila Abdallah AKA Baby j, ametangaza kuanza kuuza nguo zake mwenyewe, kupitia ukurasa wa page yake ya Facebook Msanii huyo aliandika kuhusiana na kuanza biashara ya kuuza nguo ambazo zitakua zikitoka hapa nchini na nchi za nje,msanii huyo anaemiliki blog yake mwenye yenye shehena ya nyimbo zake Iambabyjay.blogspot.com ,
Baby j amesema music ni pati ya maisha yake lkn pia pia Biashara ni kitu ambacho kipo kwenye damu yake pia, so ameamua kufanya Biashara ya nguo Kupitia Babyj's Clothe Line:
Alipo ulizwa na mwandishi wetu kwa njia ya simu baby j alisema, kwa sasa ameanza na T-shirt ambazo soon zitadondoka mtaani ''kati ya wiki hii ama ifuatayo nita introduce Flana maalum kwa ajili ya kuuza, so watu wasubirie naamini zitakua za kipekee coz timu yangu inajituma kuhakikisha vitu vizur vinapatikana, ni T-shirt ambazo zitanitambulisha kwenye Biashara ya Nguo''  na pia kuna vitu kibao ambavyo vyengine ni kutoka nje ya nchi, so inabidi kuvisubir kwa muda kidogo lkn vikifika atavitangazia kwani anaamini kua Licha ya music kuna maisha pia hivyo bac ni muziki na maisha: alimalizia Baby j:

Kila la Kheri Baby j tunazisubir kwenye Biashara hiyo ya Pamba kwa hamu izo pamba tutinge mitaani:
TUMIA FACEBOOK KUTOA COMMENT HAPA:


Bofya like hapa show love:

KHAMIS HK (Writer)

My Phone Number :+255718109106,

  • My TWITTER
  • My FACEBOOK

  • 0 comments:

    Proudly Powered by Blogger.
    back to top