FILM TRAILER CLOUDS 112 (DR MAX)

NEW VIDEO FREDRIGO - NAJIULIZA

Sunday, November 3, 2013

WADAU WAPENDEKEZA KUWEPO NA DIAMOND PLATNUMZ DAY:

Posted by WaChAfU INC  
Tagged as:
1:52 AM

Kuna uwezekano mkubwa kwamba Diamond Platnumz ni mmoja kati ya Watu waliyo washtua Vijana wengi kwenye maswala ya Mapenzi Kwa wazazi wao hasa mama,  jinsi ya kutokata tamaa kutokana na maisha magumu, na mengine hii yote imetokana kwa uwazi wa maisha ya Diamond Platnumz, Ambao kila mmoja anauelewa tangaua alivyoanza na mpaka sasa alipofikia,
Mmoja kati ya wajasiriamali wa Tanzania anaeishi U.S.A kwa sasa Mohammed Don a,k,a Shangrellah1988 kupitia account yake ya Instagram aliandika kwa kuweka suggetion hilo la hoja ya kuwekwa DIAMOND PALATNUMZ DAY, ya kila mwaka aliandika hivyo.wakati akisifia Juhudi za Kijana Diamond:
Bila ya hiyana kwa kukubali love kutoka kwa Jamaa huyo alijibu Kupitia hapo hapo kwa kuandika:
Swali ni je Unafkir Diamond amewakomboa Vijana wengi Kimawazo Pamoja na kujitambua na je upo umuhimu wa kuwepo kwa DIAMOND PLATNUMZ DAY kila mwaka?????? Mawazo yako Please weka hapo chini-:
TUMIA FACEBOOK KUTOA COMMENT HAPA:


Bofya like hapa show love:

KHAMIS HK (Writer)

My Phone Number :+255718109106,

  • My TWITTER
  • My FACEBOOK

  • 0 comments:

    Proudly Powered by Blogger.
    back to top