FILM TRAILER CLOUDS 112 (DR MAX)

NEW VIDEO FREDRIGO - NAJIULIZA

Saturday, October 26, 2013

SABABU ZA DOGO JANJA KUTIMULIWA NA OSTAZ JUMA:

Posted by WaChAfU INC  
Tagged as:
3:03 AM

'''Baada ya siku ya jana kupatikana kwa habari za Dogo Janja kutimuliwa kundi la Watanashati Entertinment lililo chini ya uongozi wa kwa utovu wa nidhamu na tabia mbaya ambayo dogo Janja alikuwa ameianzisha. Tofauti na wengi walivyodhani kuwa Dogo Janja atarudi kwa Arusha na maisha yatasonga lakini imekuwa sivyo, Dogo janja alielwa kosa lake na kuamua kuomba msamaha katika Uongozi wa Watanashati na kukubaliwa na kurudi kundini kama zamani, Mtoto akinyea mkono huwezi kuukata ila utaosha na maisha yataendelea kama kawaida, hii ndiyo falsafa aliyoitumia Ostaz Juma Namusoma kwani anamchukulia Dogo Janja kama mwanae au mtu wake wa karibu;''
(imeandikwa na teamsolothang blog) TOA MAONI YAKO HAPA:
KWA MTAZAMO WAKO WEWE UNASEMAJE KUHUSU HICHO KIKOSI;

Bofya like hapa show love:

KHAMIS HK (Writer)

My Phone Number :+255718109106,

  • My TWITTER
  • My FACEBOOK

  • 0 comments:

    Proudly Powered by Blogger.
    back to top