FILM TRAILER CLOUDS 112 (DR MAX)

NEW VIDEO FREDRIGO - NAJIULIZA

Sunday, October 27, 2013

HISTORIA FUPI YA MAREHEMU MZEE ISSAC SEPETU:

Posted by WaChAfU INC  
Tagged as:
3:19 AM

Hii ni historia fupi na nyazifa alizowahi kushika Baba wa Msanii Maarufu wa Filamu Wema Sepetu Marehemu Mzee ISSAC SEPETU,(pichani)
Jina kamili ISSAC ABRAHAM SEPETU aliwah kusika nafasi ya Ubalozi na ndio maana ni maarufu ka aBalozi Sepetu:
Balozi Sepetu aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje mnamo miaka ya 1970 wakati wa utawala wa awamu ya kwanza chini ya Mwalimu Julius Kambarag Nyerere.  Vilevile, aliwahi kuwa balozi nchini Urusi tangu mwaka 1982 wakati wa utawala huohuo wa Nyerere.
Pia, Machi 27, mwaka huu, Balozi Sepetu aliteuliwa na Rais wa Zanzibar, Dr Mohammed Shein,  kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Uwekezaji Vitegauchumi ya Zanzibar (ZIPA).
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi.

R.I.P ''ISSAC ABRAHAM SEPETU''

TOA POLE ZAKO HAPA KWA FAMILIA MZEE SEPETU:


Bofya like hapa show love:

KHAMIS HK (Writer)

My Phone Number :+255718109106,

  • My TWITTER
  • My FACEBOOK

  • 0 comments:

    Proudly Powered by Blogger.
    back to top