
Msanii wa kike nguli kutokea visiwani zanzibar anefanya music miondoko ya Bongofleva Jamila Abdallah AKA Baby j, ametangaza kuanza kuuza nguo zake mwenyewe, kupitia ukurasa wa page yake ya Facebook Msanii huyo aliandika kuhusiana na kuanza biashara ya kuuza nguo ambazo zitakua zikitoka hapa nchini na nchi za nje,msanii huyo anaemiliki blog yake mwenye yenye shehena ya nyimbo zake Iambabyjay.blogspot.com ,
Baby j amesema music ni pati ya maisha yake lkn pia...